Posts

Showing posts from September, 2014

NMB YAWAFIKIA WANA KONGWA: YAFUNGUA TAWI JIPYA KIBAIGWA-KONGWA, DODOMA

Image
NMB leo imefungua tawi jipya katika mji maarufu wa Kibaigwa �Dodoma. Tawi hilo litakuwa na huduma zote za kibenki kama yalivyo matawi mengine ya NMB nchini kote. Tawi la Kibaigwa limefunguliwa na Naibu spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni mbunge wa Kongwa, Mh Job Ndugai. Kufunguliwa kwa tawi la Kibaigwa kunafuatia mahitaji ya muda mrefu ya wateja wa NMB wa eneo hilo wa kupata tawi lenye nafasi ya kutosha .Aidha  eneo hili ni karibu zaidi na wafanyabiashara wengi ambao ni wateja wakubwa wa NMB na wananchi kwa ujumla . Kwa kutambua pia nia ya kuendelea kuchangia huduma mbali mbali za kijamii, benki ya NMB inatoa shilingi Milioni 10 kwa ajili ya hospitali na shule kama shukrani za Benki kwa wananchi wa Kibaigwa kwa kuendelea kwao kuunga mkono maendeleo ya benki. NMB ndiyo benki inayoongoza nchini kwa kuwa na matawi mengi kwani ina matawi zaidi ya 150, ATM Zaidi ya 500 nchi nzima pamoja na idadi ya wateja inayofikia Milioni mbili hazina ambayo hak...

Picha,Mtoto Wa 50 Cent Alivyojiachia Na Floyd Mayweather

Image
  Mtoto anayeaminika kuwa ni wa 50 Cent Marquise Jackson ameweka picha yake facebook akiwa na Floyd Mayweather ambaye kwa sasa hawaelewani na rapper 50 Cent. Hii sio mara ya kwanza Marquise amefanya kitu kama hichi kumuudhi baba yake, awali Marquise alipiga picha na bidha ya Slowbucks ambayo kampuni hio haina maelewani mazuri na 50 Cent. Picha hio iliambatana na ujumbe uliosema �With Tank and Floyd.� mabovu story .com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia  >> Instagram , Twitter Na Facebook

Zawadi Ya Birthday Aliyopewa Wema Sepetu Kutoka Kwa Diamond Platnumz.

Image
  Ikiwa ni siku ya kuzaliwa ya Wema Septu ambaye ni mpenzi a msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnum, Wema amepokea zawadi mbali mbali kutoka kwa marafiki na Familia. Miongoni mwa zawadi zilizomshtua Wema ni kuletewa magari mawili likiwa moja kutoka kwa Diamond. Gari alilopewa Wema kutoka kwa Diamond ni Nissan Murrano Nyeusi na nyingine BMW kutoka kwa mtu ambaye bado hajatajwa. Zawadi imeletwa kwa Wema na mama mzazi wa Diamond Platnumz. #HongeraWema Na HappyBday   mabovu story .com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia  >> Instagram , Twitter Na Facebook

Picha,Vin Diesel Ameweka Hii Picha Ya Paul Walker Facebook,Wengi Imewagusa.

Image
Mwigizaji Vin Diesel ameweka kwenye facebook picha ya Paul Walker iliyogusa watu na mashabiki wengi duniani. Mpaka sasa picha hii imethibitishwa kuwa ni picha kutoka kwenye filamu ya Fast & Furious 7. Picha hii imeambatana na trailer ya filamu hio. Paul Walker alifariki kwenye ajali ya gari akiwa na miaka 40 mnamo november mwaka jana katikati ya utengenezwaji wa filamu ya saba ya Fast & Furious. mabovu story .com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia  >> Instagram , Twitter Na Facebook

savage! jungle princess - cheeky!

Image
get over to the http://savagejungleprincess.blogspot.com blog for the latest cheeky episode of our free web comic. link in the column to your right>

Relay servers

Image
Last week I discussed the core network structures for games . There is one really important topic that I left out then: relay servers . Relay servers are especially important to understand since I have recently heard them confused with dedicated servers quite often. Today I would like to explain what relay servers are, and what they are not. A relay server is essentially just a computer that sends and receives packets. It does not really process data and does not do any gameplay logic. All it does is that if player A sends a packet to player B, then instead of sending it directly player A sends it to the relay server. The relay server then sends it to player B. The relay server is essentially just a glorified router. So why is this useful? Relay servers have two big advantages. The first is that players can practically always connect to them. Security measures in routers are a big problem in internet connections, causing many users to not be able to connect to each other directly. Usua...

Top 5 cool Packet Sniffers

Image
According to the latest statistic from famous download sites regarding to downloads of packet sniffer softwares, the following products are very honored to be listed as top 5 most welcome packet sniffers by network engineers, IT managers, and network administrators etc. #1 Wireshark - A Free Open Source Network Sniffer for Top Network Engineers Wireshark (known as Ethereal until a trademark dispute in Summer 2006) is a fantastic open source network protocol analyzer for Unix and Windows. It allows you to examine data from a live network or from a capture file on disk. You can interactively browse the capture data, delving down into just the level of packet detail you need. Wireshark has several powerful features, including a rich display filter language and the ability to view the reconstructed stream of a TCP session. It also supports hundreds of protocols and media types. A tcpdump-like console version named tethereal is included. One word of caution is that ...

Picha,Huyu Ndio Jamaa Anayesema Atafunga Ndoa Na Dada Yake Diamond �Esma�

Image
Meneja wa wasanii wa Endless Fame Petit Money ameweka wazikuwa taarifa zilizosamba ni za ukweli kuwa anamahusiano na dada yake Diamond Platnumz �Esma Platnumz� . Petit amesema ana mapenzi ya ukweli kwa Esma na kwamba anampango wa kufunga naye ndoa. Petit ameongozea kuwa mpaka sasa Diamond hana tatizo nae kuwa na dada yake. Haya Mapenzi yatadumu ?

JAJA,MSUVA KUNG'AA KWENYE MECHI YA NGAO YA JAMII UWANJA WA TAIFA LEO

Image
Jaja aliingia �mzima mzima� pembezoni mwa lango la Thika kuhakikisha anaiunganishia nyavuni krosi ya Msuva kwa vyovyote na akafanikiwa akimuacha kipa Mganda, Hamza Muwonge anaokota mpira nyavuni. Kwa furaha ya bao hilo, Jaja ambaye alikuwa akizomewa na mashabiki wa Simba SC kila alipokosea alitoka nje ya Uwanja kushangilia bao hilo, kwa shangwe za aina zote alizoweza. Yanga SC haikucheza vizuri kipindi cha kwanza na zaidi ilitegemea kupitisha mashambulizi yake pembeni walipokuwa wakiteleza kwa awamu Simon Msuva, Haruna Niyonzima na Andrey Coutinho. Coutinho alikaribia kufunga mara mbili kwa mipira ya adhabu aliyopiga kutoka nje kidogo ya eneo la penalti, wakati Jaja hakuwa na madhara kabisa kipindi cha kwanza. Nafasi nzuri zaidi kwa Thika ilikuwa dakika ya 20 wakati shuti la Moses Odhiambo lilipodakwa na kipa Deo Munishi �Dida�- zaidi ya hapo, safu ya ulinzi ya Yanga SC leo ilicheza vizuri. Kipindi cha pili, kocha Mbrazil Marcio Maximo alianza na mabadiliko katika safu ...

Core network structures for games

Image
When starting to develop an online multiplayer game you need to choose how to structure the netcode. Especially important is the question which computer decides on what part of the gameplay. There are roughly four models in common use in games these days. Today I would like to explain which those are and what their benefits and downsides are. Here are those four basic structures (of course all kinds of hybrids and variants are possible): Client-server In the two versions of client-server there is one computer who is alone responsible for the entire game simulation: the server. The clients cannot make real gameplay decisions. This means that if a player presses a button, it goes to the server, the server executes it and then sends back the results to the client. This adds significant lag to all input, which is of course totally unacceptable and kills the gameplay feel. To make a game playable with this model all kinds of tricks are needed. The best trick I am aware of is described in th...

PRODUCER SALIMU TOUCH ASAKA WASANII WA LABER KWENYE STUDIO YAKE MPYA (ZIKO RECORDS)

Image
  Producer Salimu touch afungua studio mpya ya ziko music ambayo kwa sasa studio hii inatafuta vijana sita wenye uwezo wa kuimba ama ku rap ili kuweza kungana nao katika utarishani na upishi wa nyimbo ambazo ziko music laber zitakuwa ziki simamia nyimbo hizo kama wewe ni kijana ambae una kipaji cha kuimba na unahisi unataka kufika mbali na kipaji uacho basi hainabudi kuwa siliana nao kwa simu no +255718765562 {salimu touch} studio ipo maeneo ya ubungo-rombo  Producer Salim Touch ZIKO MUSIC BOOTH mabovu story .com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia  >> Instagram , Twitter Na Facebook

Maafisa 10 wakataa kurudi nchini Liberia

Image
Rais Sirleaf Johnson wa Liberia Rais wa Liberia Sirleaf Johnson amewafuta kazi maafisa kumi wa serikali kwa kukataa kurudi nchini humo wakati ambapo taifa hilo linakabiliana na maambukizi hatari ya ugonjwa wa Ebola. Maafisa hao waliagizwa kurudi nchini humo mwezi mmoja uliopita. Rais Sirleaf amewashtumu kwa kutojali janga linalowakumba raia wa taifa hilo. Bi Sirleaf ameripotiwa kuomba msaada zaidi kwa serikali ya rais Obama ili kukabiliana na virusi hivyo. Ameitaka Marekani kujenga kituo kimoja cha kuwatibu wagonjwa wa Ebola katika mji mkuu wa Monrovia. Virusi hivyo vimewaua zaidi ya watu 2,400 Magharibi mwa Afrika tangu mwezi Machi ,nusu ya raia hao wakitoka nchini Liberia. mabovu story .com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia  >> Instagram , Twitter Na Facebook

YANGA SPORTS CLUB KUIVAA AZAMA FC LEO TAIFA

Image
 KIKOSI KAZI CHA YANGA FC KIKOSI KAZI CHA AZAM FC NGAO YA JAMII mabovu story .com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia  >> Instagram , Twitter Na Facebook

Rapper Big Sean Ajiunga Na Roc Nation Ya Jay Z Baada Ya Meek Mil Kujitoa.

Image
Mtandao wa record lebel ya Jay Z �Roc Nation� umetoa taarifa kuwa rapper Big Sean ndio msanii wao mpya aliyejiunga na record lebel hio.  Big Sean alikuwa member wa familia ya Good Music ya Kanye West ambayo ndio iliyomtoa na alikuwa akisimamiwa na Kevin Liles kupitia KWL Enterprises. Big Sean ametangaza kuhamia Roc Nation wiki chache tuu baada ya Meek Mil kutengana na kampuni hio na kwa sasa Big Sean amejiunga kwenye usimamizi moja na wasanii kama Rihanna, Jay Z, Meek Mil, Timbaland, Dj Mustard, Kanye West,Shakira na Melanie Fiona. mabovu story .com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia  >> Instagram , Twitter Na Facebook

Picha,Izzo Bizness Ameanza Kushoot Video Ya Walahoi.

Image
           Msanii Izzo Bizness ameanza kufanya video ya wimbo wake mpya �Walalahoi� na director Nick Dizo.   mabovu story .com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia  >> Instagram , Twitter Na Facebook

HOFU YA TANDA SOKO LA FILAMU TANZANIA SOMA HII

Image
   Msanii wa filamu Tanzania Hussein Kambangwa atunikiwa cheti cha ushiriki wa filamu ya rasimu ya katiba.Msanii huyu amendelea kung'aa zaidi katika soko la fimalu tanzania kwa jinsi anavyo cheza. Pia kwa sasa msanii huyu amekuwa nuru kwani kuna baadhi ya wasanii wakubwa amekuwa akifanya nao kazi kama Director kati ya filamu alizo directi hii ni moja wapo ambayo imetoka wiki mbili zilizo pita (KIMBUNGA) na nyinginezo nyingi tu. Pichani ni Msanii Kambangwa Akihojiwa na moja ya kituo mama cha matangazo nchini Tanzania Clouds Fm / Tv mabovu story .com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia  >> Instagram , Twitter Na Facebook

Wadada Tuweni Makini Sana na Vyumba vya Kujaribia Nguo Madukani, Huyu Alipigwa Picha Bila Kujua Akijaribu Nguo

Image
Wadada Tuweni Makini Sana na Vyumba vya Kujaribia Nguo Madukani, Huyu Alipigwa Picha Bila Kujua Akijaribu Nguo Dukani , Udaku Specially tumepewa siri kuwa huwa kuna kamera za siri zinafichwa kwa baadhi ya Maduka yenye tabia mbaya na kuchukua picha kwa siri..So kuweni Makini Wakina Dada   mabovu story .com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia  >> Instagram , Twitter Na Facebook

Mabibi na Mabwana� hawa ndio mastaa wengine wa Marekani walioitembelea Tanzania.

Image
Siku hizi stori za mastaa wa dunia kuja kuitembelea Tanzania sio moja wala mbili manake wamekua wakija wengi tu na hawaachi kuipa nchi hii matangazo ya bure kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii. Mastaa wengine waliotua kwenye ardhi ya Jakaya time hii ni mwigizaji staa wa Marekani Gabrielle Union na mumewe Dwyane Wade mcheza kikapu wa Miami heat ambapo wameifanya Serengeti Tanzania kuwa sehemu nyingine waliyoitembelea duniani wakiwa kwenye honeymoon yao.  mabovu story .com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia  >> Instagram , Twitter Na Facebook

Uliikosa picha aliyoiweka Rais Kikwete twitter baada ya kukutana na Wapinzani na alichoandika?

Image
Baada ya kukutana na viongozi wa vyamba mbalimbali vya upinzani Tanzania na kuzungumzia ishu ya bunge la katiba, iliamuliwa kwamba katiba ya zamani ndio itakayotumika kwenye uchaguzi mkuu ujao ila itafanyiwa marekebisho. Kwenye ukurasa wake wa twitter President JK ambae alikua hajaandika chochote toka Aug 6 2014, aliweka hiyo picha hapo juu ikimuonyesha kwenye mkutano na viongozi hao na kuandika >>  mabovu story .com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia  >> Instagram , Twitter Na Facebook

OFA OFA OFA BONYEZA HAPA USOME OFA KABAMBE

Image
MEMO: M.MEDIA TANZANIA COMPANY LIMITED INAYO FURAHA KUWA JULISHA WATEJA WAKE KUWA IMETOA PUNGUZO LA BEI YA MATENGENEZO YA MABANGO YA AINA ZOTE   KWA ASILIMIA 50 NDANI YA MWEZI HUU WA SEPTEMBER PAKA NOVEMBER HIVYO WAHI SASA UNUFAIKE NA PUNGUZO HILI KWANI MUDA NI MCHACHE KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU NO +255714393024 AU +255719286435 BARUA PEPE hajimwandawila@gmail.com  --------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------- M.MEDIA Tanzania Company Limited has informed the JOY THAT HIS CUSTOMERS have spawned at discounted prices posters maintenance of all types for 50 PERCENT IN THE MONTH OF SEPTEMBER until NOVEMBER THIS SO NOW ever benefit from discounted this because time is a couple For more information CALL NO +255714393024 or +255719286435 Email: hajimwandawila@gmail.com   mabovu story .com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia...

Sikiliza Hapa Wimbo Mpya Wa Jux-Sisikii

Image
Baada ya wimbo wake Nitasubiri, hii rekodi yake mpya Jux � Sisikii, Bonyeza play kuisikiliza.    

Diamond achaguliwa katika Tuzo zingine kubwa duniani, MTV Europe Music Awards

Image
Msanii Diamond Platnumz amechaguliwa tena kuwania Tuzo zingine kubwa duniani EMA, (Europe Music Awards) akiwa katika kipengele cha Best African Act. Siku 60 zimebaki kufanyika kwa Tuzo hizo ni muhimu watanzania kutoa sapoti kwa mtanzania mwenzetu kwani anazidi kuipeperusha bendera ya Tanzania. MTV Europe Music Awards zitafanyika   9 November 2014 (9:00 PM CET) Huko   The SSE Hydro ,   Finnieston , Glasgow ,   Scotland ,   United Kingdom

Picha, Mdogo Wake Kim Kardashian Naye Apiga Picha Za Utupu,Zitakuwa Kwenye Hici Kitabu.

Image
Wiki moja iliyopita mke wa rapper Kanye West �Kim Kardashian� alitajwa kuwa mwanamke wa mwaka na jarida la GQ Na alipidi apige picha za utupa kwa ajili ya jarida hilo. Jipya ni kwamba mdogo wake Kim, Kendall Jenner naye amepiga picha kama hizo za utupu chini ya mpiga picha maarufu Russell James zitakazo kuwa kwenye kwenye kitabu cha mpiga picha huyo kiitwacho �Angels�. Fahamu kuwa Kendall anamiaka 18 tu.