Posts

Showing posts with the label STORY ZA INSTAGRAM

Mambo Ya Skylight Kishkwambi Amazing

Image
    Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower akiimba na kucheza moja ya Sebene la Kikongo pamoja Sony Masamba. Sony Masamba ambaye ni mmoja wa waimbaji wa Skylight akiendelea kutoa burudani huku akisindikizwa na waimbaji wenzake kulia ni Sam Mapenzi na kushoto ni Joniko Flower   Wakati Sam Mapenzi akiimba wimbo wa "All of Me" mdada huyu ulimgusa sana mpaka akashindwa kujizuia akaamua afanye ya kwake

MBASHA: GWAJIMA MUNGU AMENILIPIA

Image
LICHA ya Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kukanusha mara zote kwamba, hahusiki na kusambaratika kwa ndoa ya Mwimba Injili Flora Mbasha na mumewe, Emmanuel Mbasha, lakini mume huyo ambaye amekuwa akimshutumu Gwajima ameibuka na jipya, Amani linakupa zaidi. Mwimba Injili Flora Mbasha na mumewe, Emmanuel Mbasha Jipya aliloibuka nalo Mbasha ni kudai kuwa, msala uliompata Mchungaji Gwajima wa kumtolea maneno yenye kuudhi Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycap Kadinali Pendo na kisha kuhojiwa polisi na kupata mshtuko, kuzimia hadi kulazwa hospitali ni malipo ya Mungu kwake kutokana na kilio chake. Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. ATUMIA DAKIKA 15 Akizungumza na Amani kwa njia ya simu kwa dakika 15 juzi, Mbasha alisema: �Ile hali (kupoteza fahamu) ya Gwajima ni malipo. Mimi nilishasema jamani, mtu akikutendea ubaya malipo ni hapahapa duniani, hakuna kwingine. �Mimi ndoa yangu haip...

Picha,Zari awaonyesha tumbo waliosema mimba ya kuigiza.

Image
 ZARI & DIAMOND PLATNUMZ Baada ya kuwa na uvumi kuwa mimba ya Zari ni kiki tu ,Boss lady huyu kutoka Uganda ameweka picha inayonyesha mabadiliko ya tumbo lake mpaka sasa.

Zile stori za Instagram, maneno ya meneja wa Wema Sepetu kuhusu kumwachanisha na Diamond

Image
Kama macho yako hayakosi Magazeti ya kila siku au kusoma mitandao mbalimbali ni lazima utakua umekutana na stori kwamba Wema Sepetu na Diamond Platnumz wameachana. Diamond Platnumz alihojiwa kwenye XXL ya CloudsFM November 21 2014 lakini hakuweka wazi kabisa nini kinaendelea lakini maelezo yake yanaweza yakawa na ishara ya jibu linakoelekea. Moja kati ya alivyovisema ni kwamba hata yeye alishangaa kuhusu ile zawadi ya gari aina ya BMW aliyozawadiwa Wema kwenye birthday yake huku meneja wake Martin akikaririwa na vyombo vya habari kwamba ni marafiki walijichanga kumnunulia Wema. Baada ya hayo kuna baadhi ya stori zimekua zikitambaa kwamba Martin Kadinda ndio amehusika kuwaachanisha Diamond na Wema Sepetu ambapo aliamua kujibu kwa kuandika hivi kwenye instagram >>> � Siwezagi kujibizana.. Ila i gat people who can do that�. Namleta kwenu bingwa wa kutusi watu� Mimi nimemwachanisha wema na chibu ahahahahahaa ahahhahahaha ahahahahaha walaaahi naona raha.. We Nasri tha...

Kutoka Instagram Za Mastaa,Jokate,Fidq,Diamond Na Wema Wapo #InstaBongo.

Image
Instagram ni mtandao unaokuweka karibu na watu maarufu unaowapenda na kuwafuatilia hapa bongo na nje pia, hizi instagram za mastaa wa bongo zilizotrend zaidi.