Posts

Showing posts with the label Cate-Udaku

TAZAMA PICHA TATA ZA MSANII MAHEEDA ALIYEKUWA MWIMBA INJILI TOKA NIGERIA

Image

BINTI ATEMBEZEWA KICHAPO NA MAMAKE BAADA YA KUWEKA PICHA ZA MITEGO FACEBOOK

Image
06 Aug 2014 Binti alipost picha yake ambayo imeelezwa kuwa ni ya nusu uchi kwenye page yake ya facebook na kama kawaida ya internet ikasambaa ghafla.Mama wa binti huyo baada ya kusikia hizo habari hakuweza kujizuia na kumpa kichapo kikali kwa kuchapa na mkanda binti yake huyo mwenye umri wa miaka 12.Baada ya video hii kusambaa mama huyo raia wa Trinidad and Tobago amesema hajilaumu kumchapa mwanae na wala haogopi kwenda jela kwasababu alikuwa anamuonyesha mwanae njia nzuri ya kuishi.

TAZAMA SEXY PHOTOS ZA DADA YAKE DIAMOND...ESMA DIAMOND PLATNUM

Image
Anaitwa ESMA, dada yake Diamond, Wifi na rafiki yake Wema Sepetu,ni mrembo mwenye mvuto...tazama baadh ya HOT picha zake hapa...

21 U HEARD (AUDIO): MSIKILIZE NUH MZIWANDA AKIONGEA NA SUD BROWN BAADA KUACHANA NA SHILOLE.

Image
Kutoka kwenye kinywa chake mwenyewe   Nuh Mziwanda, leo hii amethibitisha kukatisha uhusiano wake wa kimapenzi na msanii mwenzake "Shilole"  Nuh amesema sababu ya kuachana na Shilole ni baada  ya kukuta meseji kwenye sim ya shilole  iliyokuwa kwenye gari inayosema "nieshafika Dar" baada ya kuiona meseji hiyo alimtaka Shilole ampigie mtu huyu mbele yake kusudi ajue ni nani, lakini Shishi alipopiga simu hiyo alijiwahi na kuanza kumwambia "Niko na Nuh Mziwanda" yaani kusudi yule ajue kama mi nipo nae asiongee chochote. Nuh amedai baada ya kuona hivyo, alimpiga kibao shilole na ugomvi ukaanzia hapo, ambapo ulipelekea mpaka kwenda kuchukua vitu vyake kwa shilole.  msikilize hapa akiongea na Gossip Cop

NAY WA MITEGO AKIRI ALIKUA MWIZI BALAA....click umsikilize

Image
Staa wa Bongo Fleva, Emanuel Elibariki �Nay wa Mitego� CONFESSION! Kwa mara ya kwanza staa wa Bongo Fleva, Emanuel Elibariki �Nay wa Mitego� ameibuka na kuuelezea upande wa pili wa maisha yake kuwa kabla hajawa mwanamuziki alikuwa mwizi balaa! Akizungumza na paparazi wetu ana kwa ana jijini Dar es Salaam juzi, staa huyo alikiri kupitia katika majanga kibao maishani mwake likiwemo la kulala katika vituo mbalimbali vya polisi vya jijini Dar kufuatia kufanya matukio ya uhalifu. �Kwanza kabisa nilikuwa nalala Feri na watoto machokoraa. Nilikuwa naona ndiyo maisha japokuwa nilijua kuna maisha mengine mazuri zaidi lakini ningeyapate?  �Dah! Yaani kusema kweli nilipita kwenye majanga makubwa sana jamani! Anyway, kimsingi ukweli wa maisha yangu siwezi kuuficha maana nitakuwa najiongopea bure kwani ni kweli niliishi katika maisha ya matukio sana,� alisema Nay.  Akizidi kutiririka mbele ya kinasa sauti cha Amani, Nay ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wa Mr Nay aliweka bay...

AGNES MASOGANGE NA CORAZINE WA KENYA WASHINDANISHA MAKALIO YAO HUKO SAUZI

Image
Siku za hivi karibuni WADADA HAWA WENYE FIGA MATATA kutoka huku Afrika ya Mashariki wamekuwa marafiki kupitia mtandao wa INSTAGRAM�Kila moja amekua akimkubali mwenzake na mara kadhaa kila mmoja kwanyakati tofauti amekuwa akipost picha ya mwenzake na hata kuitumia kama profile picture Majibu ya Davido kuhusu beef lake na Wiz Kid HAya HAPA. Sasa jana usiku kupitia hiyo hiyo INSTAGRM wote wawili kwanyakati tofauti walipost picha wakiwa pamoja huko SAUZI�.wakiwa kwenye gari na wakiwa wamelala kitandani�Kama unavyoziona�.. Kubwa zaidi ni pale Masogange alipo weka video ya Corazon akikatika chumbani�Dah Nouma Kweli..Tazama watu wakikitisa maumile yao�

HIVI NDO JINSI MADIVA WANATAKIWA WAFANYE

Image

PICHA ZA MADIVA WA KENYA KABLA YA UMAARUFU.....vituko

Image
e The Gag

PICHA ZA CHAFU ZA MREMBO ZAVUJA BAADA YA KULIWA TIGO NA WAHUNI, ZITAZAME HAPA

Image
Kama hujawai shuhudia upuuzi wa walimwengu basi shuhudia kwa huyu dada. Jamani hivi huyu dada anaakili timamu kweli? Naomba nisieleze sana ila uone mwenyewe picha zake alizopiga na kutupia mtandaoni mwenyewe akitafuta mwanaume wakumkula. Jamani sisi hatutangazi biashara kama hizi ila kama utampenda sema tuweke mawasiliano yake hapa. ......hii ni laaana! mbona imekuwa shida! PICHA 1 PICHA 2  

"TAKO LANGU LINAWAVUTIA HADI MADEMU".....ni shidah

Image
Duh hatari sana hii aisee..Kuna wadada wameumbwa jamani, inafahamika kwa wadada kumkubali msichana mwenzake ni jambo amabalo ni gumu sana.. Ila kwa shape ya mdada huyu mwenzake alishindwa kuvumilia kabisa, akaamua kuhakikiksaha kwamba ni kweli la kwake hili tako au kaweka matmbala...Ni sheeeda...!

DIAMOND AENDELEZA UMALAYA HUKO MALAYSIA....click uone mapicha

Image
Diamond leo  anafanya show ndani ya jiji la Kuala Lumpur huko Malaysia. Tangu jana alikuwa ameshafika na hizi ni baadhi ya picha ambazo Diamond amezipiga akiwa huko Kualar Lumpar kabla ya kufanya show leo usiku kwa mada wa huko.

Housegirl anataka zamu sawa na mke wangu!

Image
Wadau hapa juzi kati niliingia tama nikamtawanya housegirl wetu hapa hom. sasa toka nianze kumpatia dozi ya dushelele leo asubuhi nikiwa ofisini kanitumia sms eti jana usiku amesikia wakati Nampa haki wife sasa nae anataka apewe haki sawa kama ya bi mkubwa. Duuh Najuta kuanza uhusiano na huyu binti aisee!!!