Mwigizaji Vin Diesel ameweka kwenye facebook picha ya Paul Walker iliyogusa watu na mashabiki wengi duniani. Mpaka sasa picha hii imethibitishwa kuwa ni picha kutoka kwenye filamu ya Fast & Furious 7. Picha hii imeambatana na trailer ya filamu hio.
Paul Walker alifariki kwenye ajali ya gari akiwa na miaka 40 mnamo november mwaka jana katikati ya utengenezwaji wa filamu ya saba ya Fast & Furious.
mabovu story.com ndio mtandao wako kwa habari za burudani Africa na nje, Tuwe pamoja huku pia >> Instagram , Twitter Na Facebook
Comments
Post a Comment