Popular posts from this blog
WADAU HIVI HILI KWELI LINAWEZEKANA AMA NIMEINGIA CHAKA KWA BINTI HUYU?
Leo nimekutana na kali ya kufungua mwaka. Kwa muda mrefu tu tumekuwa tukiwasiliana na kuchat kiasi cha kuzoeana na msichana fulani hivi lakini hatukuwahi kuonana. Sasa tukapanga tuonane siku ya leo. Nikamshtua mtrotro mapema leo, nikamwambia aje pande za huku kwetu. Mida ya flani jioni nikawasili maeneo ya kituoni hapa, nikamkuta ananisubiri. Kumuona mtrotro mashallah.. Kiukweli mimi sijajaliwa sura yenye mvuto na kimuonekano pia ni wa kawaida tu. Nikaenda nae maeneo tukapiga story 2.. 3.. Then nikamuingiza majaribuni, nikamuomba tuzini. Cha kushangaza akakubali wakati ndo kwanza tumeonana leo. Nikajilia vyangu kiulainiii, nikamsindikiza. Nikarudi home na viulizo..!! Huyu binti yuko sawa kweli au ndo wale wa buguruni..!!? Au ni kawaida tu, kwamba inawezekana sex at first sight.
BREAKING NEWS: Former NPP chairman Jake Obetsebi Lamptey is DEAD
Former Chairman of the New Patriotic Party, (NPP) Jake Obetsebi Lamptey is dead. He died in London, Sunday Morning. His death was confirmed to Kasapafmonline.com, by his aide, Brian Acheampong. It will be recalled that there were rumours in December last year that the former Minister of State in the John Agyekum Kufour administration had died. Barely twenty four hours after news went viral on social media and public chat platforms of the supposed passing away, Mr. Obetsebi-Lamptey responded to the claims suggesting they were false. Speaking to Kasapa 102.3 FM then, the former Chief of Staff in the erstwhile Kufour Administration who later held several other portfolio, said the rumours were malicious and in bad taste. �Those are pure lies; i wonder why people would want to say such things. I am healthy and alive.� But his Special aide Brian Acheampong on Sunday March 20 2016, has confirmed his demise. Source:kasapaonline.com

Comments
Post a Comment