Kwa nini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio mkubwa hatupati waume wa kutuoa ?


    1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi 

hatuolewi:  (a)Miili yetu imepitwa na wakati, (b)Labda 


wanadhani tutashindwa mechi. 

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?  

(a)Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba, 


(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.  

NALILETA MEZANI TULIJADILI. Nimefanya uchunguzi 

yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake 


wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana 


kuolewa, kwa nini?

Comments

Popular posts from this blog

Building your mental toolbox for solving coding problems

WADAU HIVI HILI KWELI LINAWEZEKANA AMA NIMEINGIA CHAKA KWA BINTI HUYU?