NEY WA MITEGO MWONGO KUHUSU KUWA NA NYUMBA 3 NA MAGARI, UKWELI HUU HAPA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiEBVIanbb0DopSLDT-5n_dK3jymDvPmmPLz63-sPHaxjQ4KXpfo_GvswS5wPjPIg0FqBzIcVJINcQCMnQhMzpE8WM-m-Oz2jEXw1rZwb3Km0kf2CdQoqzHEaGM_xzINC7BfKpBEwgLTAE/s1600/10456457_939160349431717_5429598818210293882_n.jpg
Miezi miwili iliyopita msanii Ney wa mitego alianika utajiri wa ajabu zikiwemo nyumba nne na gari moja ya kisasa nissan murano!! Akichezesha taya na mwandishi wetu aliyekuwa manager wa ney amesema tangu aachane na ney miezi 7 iliyopita alikuwa hana hata nyumba moja ameshangaa kumuona ana nyumba nne ghafla lakini manager amesema inawezekana jamaa anatafuta kiki ili watu wanaomuita kwenye show wafikirie kumpa mpunga mrefu na si laki laki wanazolipwa kwenye fiesta! Amefunguka kwamba Ney kuwa na hizo nyumba basi itakuwa ni miujiza.

Comments

Popular posts from this blog

Building your mental toolbox for solving coding problems

WADAU HIVI HILI KWELI LINAWEZEKANA AMA NIMEINGIA CHAKA KWA BINTI HUYU?