Posts

Showing posts from July, 2014

NILIJIFANYA NAJUA STYLE LAKINI NILIKIMBIA GHETTO KWA HIZI STYLE NGUMU ALIZO NIPA!!! BOFYA HAPA KUZIJUA

Image
Sio siri kwamba mapenzi yanahitaji ubunifu wa hali juu,moja ya ubunifu huo ni ktk style za kupeana maraha..nasi bila hiyana tunarudia somo hili..    1: KIFO CHA MENDE.   Katika style hii ya kupeana raha na utamu,mwanamke alale chali ( Uso,Matiti na kila kitu viangalie juu ).Kisha mwanaume apige magoti mbele yake,baada ya hapo mwanamke aweke miguu yake kwenye mabega ya mwanaume,unaweza kuweka mto chini ya makalio ya mwanamke ili awe more confortable. Mwanamke akiweka miguu juu ya mabega ya mwanaume wakati wa kupeana raha na utamu kuna faida mbili.Mtaenjoy kwa sababu mashine ya mwanaume na Uke wa mwanamke zote zinakuwa ktk level sawa,hii inasaidia mashine ya mwanaume kuisugua vizuri Swaggz Tz,na pili Uke wa mwanamke unajibana kidogo,Ikijibana inaongezeka kuwa tight na kufanya starehe ya tendo kuzidi kuwa tamu. Pia mwanaume inabidi ashikilie makalio ya mwanamke aki pump kuelekea juu ili aweze kuilenga vizuri.   2: WHEEL BARROW..   ...

WANAUME WENYE VIBAMIA HII HAIWAHUSU

Image
Ni kitu kisichopingika, wanaume wengi wazurii chini hawana kitu kabisaa,samahani kama nitakuwa nimewatukana ila ni ukweli mtupu... Pia licha ya maHB kuna wengine hawana UHB ila nao vibamia..Hapo kuna mgawanyiko wa wanaume sasa:   Kuna wale ambao,kwenye mambo yote are zero,yaani kwenye kukushika anashika kama anabofya keypad au anatomasa embe,denda ndo kabisa hajui kitu,akija kwenye kumalizia yaan daah,ni shida na kibamia chake. Kuna wale ambao wako so romantic yaani,wanahendo safi kabisa yaani unaona pepo hii, akija kutoa mamaaaa kibamiaa, yaani mtu hata akivesha ndom inakuwa kama soksi ya mkubwa kavaa mtoto kha!!!! Na wengi hata kwenye kuvua utaona anajishaua,ukimuwahi utaona anajizugisha kumbe anajua utaona mapema. SWALA NI KWAMBA:Tunajua kwamba Mungu kawapa maumbile hayo,hauwezi ukabadilisha hata iweje,basi jitahidini hata kuchagua styles ambazo zitasaidia mwenzio kujisikia kidogo raha,Maana vinginevyo unamuacha mwenzio na magenye ya ajabu,unadhani ataenda ku...

BIBI HARUSI AUMBUKA BAADA YA PICHA ZAKE AKIZINI KUSAMBAA AKIWA KANISANI

Image

WABONGO KWA KUIGA MITINDO NI HATARI, IGENI NA HII

Image
Wadada wa Mjini Siku hizi Kila siku wanakuja na Mitindo Mipya ya Nguo mingine ni Kero kabisa kwa Jamiii ....Ladies Can you rock this kind of cloth just to be noticed?

DENTI AIBIWA NGUO NA MPENZI WAKE AKIWA GESTI NA KUACHWA MTUPU....click

Image

NDOA YA LUCY KOMBA NA MZUNGUAKE YAINGIA KIDUDU MTU

Image
  Staa wa filamu Bongo, Lucy Francis Komba akiwa na mchumba wake. HUKU akiwa kwenye vikao vya maandalizi ya harusi na Mzungu, staa wa filamu Bongo, Lucy Francis Komba (pichani na mchumba wake), amejikuta katika wakati mgumu baada ya habari kudai kwamba, mchumba wake huyo amemwambia ili ndoa ifungwe lazima aoneshe cheti cha kipimo cha Ukimwi kwanza. Chanzo chetu cha habari kikizungumza na Amani juzi, kilisema kwa sasa Lucy anahaha kutafuta cheti feki cha kipimo hicho kwa kwenda hospitali mbalimbali ili anunue kwa gharama yoyote lakini imeshindikana. �Ukweli Lucy anahaha kutafuta cheti cha Ukimwi, mchumba anasubiri akione vinginevyo hawatafunga ndoa,� kilisema chanzo. Ilidaiwa kuwa, mpaka sasa Lucy ameshafika kwenye hospitali tatu kubwa mbili, TMJ na Marie Stopes ili kufanya maarifa lakini imeshindikana.   Baada ya kupata habari hizo paparazi wetu alimtafuta Lucy ambapo alikuwa na haya ya kusema: �Si kweli! Hao wanaosema hivyo ni wanafiki, sijui wanataka nini maana k...

MWANAMKE AUAWA BAADA YA KUVUA HIJABU SOKONI

Image
Watu wenye silaha nchini Somalia wamempiga risasi na kumuua mwanamke mmoja Muislam kwa kukataa kuvaa hijab, wamesema ndugu zake. Ruqiya Farah Yarow aliuawa nje ya nyumba yake karibu na mji wa Hosingow, na watu wenye silaha kutoka al-Shabab, wamesema ndugu wa mwanamke huyo. Watu hao walimtaka avae hijab, wakaondoka, na waliporudi na kukuta hajafanya hivyo wakamuua, wameongeza kusema ndugu hao. Hata hivyo msemaji wa al-Shabab amekanusha kuhusika na mauaji hayo. Al-Shabab haidhibiti eneo hilo kikamilifu amesema. Alipigwa risasi mara mbili na kufa papo hapo. Ameacha mume na watoto. Mwandishi wa BBC anasema kutokana na al-Shabab kukanusha kuhusika na mauaji hayo inaonesha kuna kundi ndani ya kundi hilo waliotekeleza mauaji hayo. Amesema inawezekana pia al-Shabab wanajiweka mbali na tukio hilo kwa kuwa huenda likaleta ghadhabu kutoka kwa wananchi.

HATARI SANA: KUWA NA MSICHANA MKALI YATAKA MOYO...SOMA UJUMBE HUU TOKA KWA HUYU MDADA...

Image
NIMEKUTANA NA HII STORY MTANDAONI TOKA KWA WALL YA MDADA MMOJA MURUA MATATA NIKAONA NISIWE MCHOYO NISHEE NAWE MDAU..! Sasa leo nataka niseme kitu kimoja kwenu wanaume. Mwanamke mzuri anahitaji pesa jamani, usitegemee utampata mwanamke mzuri kwa sasa hivi kama hauna mkwanja mrefu,hilo sahau abisa. Vinginevyo utaishia kuwaita mashemeji tu kwa hiyo wakati ukimtamani mdada mrembo ujue hadi unamuona mrembo ni pesa hizo. Unakuta mkaka unawasiliana nae wiki nzima,unamjib text,akipiga unaongea nae fresh haha unashindwa kutuma tigo pesa hata elfu 30 useme jiunge bando?  Wallah mie nasemaje kama huna pesa au hujui kutunza usinisumbue kabisa coz hatutoendana unataka meeting na mie hutumi hata laki 1 ya saloon licha ya mafuta ya kukufata inahuuu Badilikeni basi.

HAYA NDIO MAUTUNDU YA KUFANYA KABLA YA KUSEX

Image
Ndoa ni safari ndefu ambayo inahitaji uvumilivu wa kila namna ili kuhakikisha kila mwanandoa anaifurahia safari hiyo.(Picha kwa hisani ya mitandao) Leo hii ndoa nyingi zimejaa majuto kutokana na wahusika kukosa uvumilivu katika safari hiyo na kuhisi kuwa pengine njia aliyopita siyo sahihi. Majuto ya safari hiyo yanatokana na mambo mengi, miongoni mwa hayo ni lugha mbaya kwa wanandoa, kumiliki visasi mioyoni mwao, kutosameheana, kushindwa kujishusha pindi mmoja anapokosa na kugundua kuwa yeye ndiye chanzo cha tatizo, kutoaminiana katika mahusiano yao ya ndoa, wivu uliopitiliza, kutoheshimiana nk. Safari ya ndoa ili iwe salama na yenye baraka tele, inahitahi kutoyaruhusu hata kidogo niliyoyaelezea hapo juu. Lakini silaha kubwa kuliko yote ni msamaha, suala la kusameheana kwa wanandoa ni dawa tosha ya kuondoa mikosi ya safari ya ndoa iliyojaa kila aina ya vizingiti. Pamoja na hayo jambo lingine ambalo nalo kwa namna moja ama nyingine limechangia kuzifanya ndoa nyi...

Video: Angalia Timbwili Timbwili la Keita Vs Pepe Wakiwa Marekani

Image
Thursday, 31 July 2014 06:03 font size decrease font size increase font size Print Mshike mshike wa mchezo wa kimataifa wa kirafiki kati ya Real Madrid dhidi ya AS Roma, uliingia katika mzimu wa mpambano wa mahasimu wakubwa nchini Hispania baada ya beki kutoka nchini Ureno Pepe kukwaruzana na kiungo kutoka nchini Mali, Seydou Keita. Wawili hao walikwaruzana kabla ya mpambano huo wa kujiandaa na msimu haujachezwa katika mji Dallas, nchini Marekani ambapo Pepe alionekana akirushiwa chupa ya maji hali ambayo ilizua tafrani kabla ya kuamuliwa na wachezaji wenzao. Pamoja na madhila yoye hayo Pepe alionekana ni mwenye kutabasamu na kuyapuuza yaliyotokea. Hata hivyo kitendo hicho kilipelekea hasira kwa Keita na kujikuta akifanya maamuzi ya kutompa mkono Pepe wakati wachezaji wa AS Roma walipokuwa wakiwasalimu wachezaji wa Real Madrid kabla ya mchezo h...

HAIJAWAHI KUTOKEA...TUHUMA NZITO: MUME AMPIGA MKEWE AKISWALI, AMJERUHI VIBAYA...KISA?!FUATILIA ZAIDI HAPA

Image
Bi. Nasra Dafa (30) aliyeshambuliwa na mume wake wakati akiswali. TUHUMA nzito ya aina yake ambayo haijawahi kutokea ambapo mkazi mmoja wa Tandale � Kwatumbo wilayani Kinondoni jijini, Idd Mpenda anadaiwa kumshambulia na kumjeruhi hadi kuzimia mkewe, Nasra Dafa (30) wakati akiswali. Akizungumza na Amani huku akimwaga machozi, mwanamke huyo alisema tukio hilo lilijiri Julai 28, mwaka huu saa saba mchana wakati akiswali maeneo ya duka lake lililopo Tandale.   ILIKUWA KUSHTUKIZA Alidai kwamba alikuwa katika kusujudu,  mara mumewe alitokea na kumshambulia kwa mateke, ngumi na viatu kisha akamburuza chini hadi nje hali iliyosababisha nguo aliyovaa kuvuka na kubaki kama alivyozaliwa!�Kama unavyoniona, nimeumia sehemu mbalimbali za mwili. Kiatu ndiyo kimeniumiza sana. Majeraha ya mguuni aliyopata Bi. Nasra Dafa . ATINGA KITUO CHA POLISI Alisema baada ya tukio hilo kutokea  alijivuta na kuvaa gauni lingine kisha akakimbilia Kituo Kidogo cha Polisi Tandale ambapo p...

HII STYLE YA KUSHEREHEKEA IDDI NI LAANA

Image

WEMA AONGELEA UGOMVI WAKE NA MAMAKE, MAMA DIAMOND PIA ATAJWA

Image
  Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu. STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu ametaja sababu zinazomfanya aingie katika mgogoro na mama yake mzazi, Miriam Sepetu kuwa ni suala la uchumba wake na Nasibu Abdul �Diamond� ambao alikuwa akiupinga mara kwa mara. Akipiga stori na mapaparazi, Wema alisema kwa muda mrefu alikuwa akitofautiana kauli na mama yake katika suala zima la uhusiano wake na Diamond lakini anamshukuru Mungu amemuelewa na sasa kila kitu kinakwenda sawa. Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu akiwa na mama yake. �Mama nilikuwa nikimsihi sana juu ya uchumba wangu na Diamond lakini sasa tumefikia hatua nzuri namshukuru Mungu amekubali, maana siku hizi nikionana naye ananiuliza vipi mwenzako mzima, anaendeleaje, wakati mwanzoni haikuwa hivyo,� alisema Wema huku akiahidi kumkutanisha Diamond na mama yake

Mwajiri atumiwa uchawi kwa njiwa

Image
Njiwa akiwa na ujumbe wa barua kama inavyo onekana Njiwa akiwa amedhoofu kwa Baridi akiwa katika choo cha wanaume Hii ni sehemu alipokutwa Njiwa huyo Majengo nje ya Ofisi ya Afisa Mwajiri Baadhi ya wafanyakazi wakielekea eneo la tukio Afisa Mwajiri (Mwenye shati ya bluu) Na baadhi ya wafanyakazi wakishuhudia tukio Mashuhuda wakitoka eneo la tukio Barua iliyoletwa na Njiwa maeneo ya Ofisi ya Mwajiri upande wa mbele na nyuma Jengo la Ofisi ya Afisa Mwajiri Stesheni ya TAZARA kituo cha Mbeya WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli, kati ya Tanzania na Zambia(TAZARA) jana walijikuta katika wakati mgumu na baadhi yao kulazimika kuzikimbia ofisi zao, baada ya ndege aina ya njiwa kukutuwa katika moja ya choo cha ofisi hiyo akiwa amefungwa hirizi shingoni, huku akiwa na barua yenye ujumbe wa onyo kali. Tukio hilo la aina yake, lilitokea mapema leo saa mbili asubuhi katika ofisi za mamlaka hiyo zilizopo eneo la Iyunga Mkoani hapa, hali ambayo mbali na baadhi ya wafanyakazi wake kuzikimbia of...

BAHATI BUKUKU ANENA MAZITO BAADA YA KUKWEPA KIFO

Image
Nyota wa nyimbo za Injili Bongo, Bahati Lusako Bukuku ameumia mgongo na maeneo kadhaa ya mwili (nusu kifo) kiasi cha kushindwa kukaa, kusimama wala kutembea kufuatia ajali mbaya ya gari iliyotokea kwenye eneo la Ranchi ya Narco wilayani Kongwa, Dodoma saa tisa usiku wa kuamkia Jumamosi. Katika ajali hiyo ambayo Bahati alikuwa akienda Kahama, Shinyanga kwenye mkutano wa Injili, dereva wa gari alilokuwa akisafiria aina ya Toyota Nadia lenye namba za usajili IT 7945, Edison Mwakabungu �Eddy� (31) aliumia sana kwenye vidole vya miguu na hawezi kutembea. Wengine waliokuwemo kwenye ajali hiyo ni wacheza shoo wa Bahati, Frank Muha (20) na mwenzake ambaye jina lake halikupatikana mara moja. Alfajiri ya juzi, mwandishi wa habari hizi alimpigia simu Bahati na kuongea naye kuhusu ajali hiyo ambapo huku akisikika kama anayepata tabu kwa maumivu, alisema: � Ni kweli tumepata ajali, nimeumia mgongoni, dereva ameumia mguu. Namshukuru Mungu. Sijui nini kilitokea, nilishtukia kuona gari ...

ONA PICHA ANAZOZIPOST HUYU DADA FACEBOOK....ni shida

Image

AIBU...!! MUHUDUMU WA BAA ANASWA AKILIWA URODA ENEO LA KAZI NA MTEJA...TAZAMA HAPA

Image
Muhudumu wa kiume wa baa moja maarufu iliyopo Posta Jijini Dar hivi karibuni alinaswa akifanya ufuska kwa kumnyonya maziwa hadharani mteja wake na kuacha kazi. Tukio hilo ambalo lilishuhudiwa pia na wahudumu wa baa hiyo ambapo awali dada huyo alionekana kukolea kilaji kupita kiasi na kukosa stamala na baadaye kujikuta akifanya upuuzi huo. Kijana huyo aliyefahamika kwa jina la Emmanuel Chambuso alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya meneja wake kufika na kushuhudia tukio hilo kisha kumuamuru kuvua jezi za ofisi kisha kuondoka bila kutoa maelezo.

KAMA NI MAKALIO KIM KARDASHIAN KAJALIWA....click uone

Image

LOVENESS DIVA AZINADI NYETI ZAKE

Image
Mtangazaji wa kipindi cha mahaba kiitwacho Ala za Roho kupitia Radio Clouds FM, Loveness Malinzi �Diva� hivi karibuni alilazimika kuyaanika maungo yake ya sehemu za mapaja kushuka chini baada ya kutakiwa kufanya hivyo na mmoja wa mashabiki wake. Kupitia blog yake, Diva alidai kuwa siku za nyuma kuna mtu aliomba kuona sehemu hizo za mwili wake hivyo baada ya kumbania sana ameamua kumtimizia haja yake ili afurahi. �Kuna mtu alikuwa akidai hajawahi kuona miguu yangu iko ikoje na kwamba nimekuwa nikionesha sehemu ya shingo tena kwa upande,leo nimeamua kumfurahisha,�alisema Diva. Sambamba na maneno hayo, mtangazaji huyo alijifotoa picha zilizoocha wazi sehemu kubwa ya mapaja yake kisha kuziweka kwenye ukurasa huo. Diva ni mtangazaji mwenye sauti ya kimahaba, yenye uwezo wa kumtoa nyoka pangoni ambaye watu wengi wamekuwa na hamu ya kumuona jinsi alivyo kwani wamezoea kumsikia redioni tu. 

CHRISTIANO RONALDO AMBWAGA MESSI KWA MARA NYINGINE TENA...click

Image
CRISTIANO Ronaldo ameshinda tuzo ya Goal 50 ya mchezaji bora wa dunia baada ya kuwa na msimu mzuri wa 2013-14. Mshambuliaji huyo ametwaa tuzo hiyo kwa mara ya tatu kama sehemu ya kuheshimu kazi aliyoifanyia Real Madrid kutwaa taji la 10 la ligi ya mabingwa barani Ulaya. Nyota huyo mwenye miaka 29, pia alishinda kombe la mfalme (Copa del Rey) na kufunga magoli 51 katika mashindano yote ya klabu na taifa lake. WALIOSHINDA TUZO YA Goal 50 mpaka sasa: 2008- Cristiano Ronaldo 2009 -Lionel Messi 2010- Wesley Sneijder 2011-Lionel Messi 2012- Cristiano Ronaldo 2013 -Lionel Messi 2014 -Cristiano Ronaldo. Ronaldo alishinda kiatu cha dhahabu sambamba na Luis Suarez na mapema mwaka huu alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa dunia na kushinda tuzo ya 2013 FIFA Ballon d`Or. Baada ya kupokea tuzo hiyo, Ronaldo alisema: �Ni heshima kubwa kwangu kuchaguliwa kuwa mchezaji bora. Kiukweli nimefurahi sana�. �Nashawishika kusema nisingeweza kutwaa tuzo hii bila sapoti kutoka watu wa Real Madrid�. Goal 5...

Hakika Uchungu wa Penzi Ni Zaidi Ya Mwiba Kwenye Mtima Wangu!!! Bofya Hapa

Image
Watu wengi hutoa machozi pale wanapoachwa na wapenzi wao, Mpenzi msomaji wa blogu yako uipendayo ya saikolojia leo nitakueleza kuhusiana na chozi la penzi: Unajua wataalamu wa mambo ya mapenzi wanasema kuwa Mwanamke ni mwepesi sana kutoa machozi pindi anapoachwa na mpenzi wake hii inatokana na mwanamke kuubwa na moyo wa kuwa na penzi la rohoni. Wataalamu wa mambo ya mahaba wanasema kuwa wanawake wameumbwa kwa penzi la rohoni yaani la ndani tofauti na wanaume, hii ndiyo inasababisha mwanake akiachwa na mpenzi wake hujisikia vibaya na kujiona kama hafai kabisa kwa mwanaume yoyote kitendo ambacho kinamfanya anatoa machozi kwa wingi sana.   Mwanaume kaumbwa kwa penzi la fikra kama wanavyotufahamisha wataalamu wa mapenzi hii ndiyo maana wanaume wengi ni vigumu sana kulia pale wanapoachwa na wapenzi wao japo wapo wanaolia lakini sio wengi japokuwa huwa wanaumia sana rohoni lakini kutokana na elementi walizoumbwa nazo inakuwa vigumu kutoa machozi. "Nakusihi uendelee kuburudi...

TAHADHARI: KUHUSU KUPOKEA SIMU Z AJABU..HI HAPA STORI KAMILI KUHUSU MSANII TUNDA MAN KUPKEA SIMU HIYO...!

Image
Kuna kipindi stori za namba ambazo wengi walikua wakisema za ajabu na endapo zikikupigia usipokee zilikuwa zikitawala sana kwenye mitandao ya kijamii na wengi pia walikua wakizonyesha namba hizo. Tunda Man ambaye pia ni miongoni mwa watu wanaounda kundi la Tip Top Connection Jioni ya July 28 amepata simu hiyo ambayo amedai kwake ilikua ni mara ya kwanza kupigiwa kwani namba hizo hajawahi kuziona zikimpigia kabla. Tunda man ameongea na Millard na kusema: �Nilikua nafuturu jana jioni wakati naendelea kufuturu nikapigiwa simu namba sikua nazijua kwani zilikua za maajabu tu,sikupokea,ilipiga kama mara 30 hivi�   �Baadae nikapokea na kisha nikaiweka mbali kidogo na mimi wakati nasema hallow ghafla kitu kama shoti ya umeme kikaanza kutembea kwenye viganja mpaka kwenye mkono nikakosa nguvu kabisa nikawaambia jamani nipelekeni hospital�   �Tukaenda hospital ya Serikali hapo Palestina,Dokta akasema huu ugonjwa tangu ameanza kutibia watu hajakutana nao ni mara yake ya ...