Posts

Showing posts from February, 2013

Optimising special effects in Awesomenauts

Image
The latest Awesomenauts patch increased the framerate a lot for players with older videocards, especially during fierce battles. We managed to optimise our special effects without making them look noticeably different. Today I would like to explain how we did that! Before I dive into the details, let me first give some background. In a 2D game like Awesomenauts, most objects are just a square with a texture on it. The texture contains an image, and you only see that image, not the entire square. However, the videocard renders the entire square. So from a performance perspective, it doesn't matter how much of the texture is actually visible . The entire square is rendered and the every pixel uses performance! Our artists know this, so they try to crop the image to have as few transparent pixels as possible (without changing the actual looks of the end result, of course). Since objects in Awesomenauts contain so many (partially) transparent pixels, we cannot easily detect whether an...

RAHA YA MAPENZI NI KUPENDWA(3)

Image
Ilikuwa ni siku ya jumanne ,asubuhi na mapema,katika jiji la mwanza ambalo limezungukwa na milima ya aina mbalimbali kama mawe,alimasi na dhahabu.Wingu la kiza na kibari kwa mbali vilitatawla asubuhi ya jumanne.Ilikuwa saa 2 asubuhi,Hamisi alipowasha gari lake na kuelekea mjini.Alipokuwa njiani,gari lake lipata matatizo,baada ya tairi kupasuka katika mpira wa ndani.Hamisi akampigia fundi wa mjini ili waje kumsaidia.Kama tulivyoangalia sehemu iliyopita,tuliona Bakari ndio mpenzi wake Salma.Lakini hatukuweza kufaham Bakari kazi aliokuwa akifanya pale mjini mwanza.Hamisi akampigia fundi anaemuamini kabisa ,ambae ndie Bakari.Kwa wakati huo alikuwa amelala na Salma nyumbani kwake.Simu ilikuwa inaita lakini,Bakari alikuwa usingizini,Salma alikuwa macho pale kitandani,akaishika simu kwa wivu wake kuangalia nani anampigia mpenzi wake mpendwa.Salma akapata mshituko baada ya kuona namba ya Hamisi.Mara Bakari akashtuka usingizini na kumwambia Salma,nipatie simu.Salama akampatia simu Bakari,wakati...

RAHA YA MAPENZI NI KUPENDWA(SEHEMU YA 2)

Image
Hamisi akalipa pesa za nguo na vipodozi,waondoka kuelekea mjini,Walipofika mjini,wakaingia kwenye hoteli na kuagiza chakula.Baada ya kula chakula ,Hamisi akamchukuwa Salma na kumrudisha nyumbani kwao.Alipofika Salama akaagana na Hamisi.Baada ya hapo salma akaingia ndani kwao.Mama yake salma ,alikuwa akiitwa chausiku,akamkuta ukumbini,na kuanza kusalimiana na mama yake.Salma akaenda moja kwa moja chumbani kwake . Hamisi alitokea kumenda sana Salma,ndio maana alifanya jitihada zote,ili aweze kuwa na Salma.Kwa upande wa Salma kulikuwa ni tofauti sana.Salma alikuwa na mpenzi wake Bakari,alikuwa anampenda sana Bakari.Salma akaoga haraka na kuelekea kwa mpenzi wake Bakari. Baada ya kujiandaa na kuvaa mavazi ya gharama ambayo ,alinunuliwa na mpenzi wake Hamisi.Salma alikuwa amependeza sana.Akaagana na mama yake na kuondoka kuelekea kwa mpenzi wake wa moyoni. Bakari alikuwa chumbani kwake amejipunzisha,kutokana na uchovu wa kazi za kutwa nzima. Salma alipofika nyumba anakoishi Bakari akaenda m...

RAHA YA MAPENZI NI KUPENDWA(SEHEMU YA 1)

Image
Katika maisha ya upendo,Salma anakutana na kijana mmoja aitwae Hamisi.Ilikuwa ni siku ya jumatatu asubuhi na mapema,wakati jua lilikuwa linachomoza,ndani ya jiji la Mwanza.Watu walikuwa katika pirika pirika za kuelekea kwenye kutafuta riziki.Katika hali isiyo ya kawaida,Hamisi akiwa ni mfanya biashara mkubwa pale mjini Mwanza,anasimamisha gari yake pembeni mwa Barabara,baada ya kumuona msichana mrembo,akiwa anatembea kwa miguu. Hamisi akamsalimia yule msichana,dada habari yako?Yule msichana akamjibu nzuri kaka.Hamisi akamuliza yule msichana,dada naona unatembea kwa miguu,sijui unaitwa nani?msichana akamjibu,naitwa Salma,na wewe unaitwa nani?Yule kaka akamjibu,mimi naitwa Hamisi,unaelekea wapi?Salma akamjibu Hamisi,naelekea mjini.Hamisi akamwambia Salma,hata mimi naelekea mjini.panda twende.Salma akaingia kwenye gari,Hamisi akawaswha gari moto na wakaelekea mjini. Wakiwa njiani,waliweza kuongea maongezi marefu sana,kiasi kwamba walijikuta kana kwamba wanafahamiana kwa muda mrefu sana....

The craziest bugs, part 2

Image
Last week I started the top 7 of my favourite bugs with the numbers 7 to 4. The top 3 is where it gets really crazy. Sit back and enjoy to see how amazingly stupid game development can sometimes be! Click here for numbers 7 to 4 3. Hidden functionality to turn off bugs On one of the platforms Awesomenauts launched on, we had a lot of trouble getting the internet connection between players to remain stable. After a while the ping would always start slowly increasing, until in the end it got too high and the game disconnected. Sometimes this took a couple of minutes to start, sometimes half an hour, but in the end this always happened. We contacted the support team for the platform-specific networking library that we were using, and their answer was that we used too much bandwidth and sent too many packages. So we spent a lot of time optimising, and we managed to half the number of packages and half the bandwidth. However, the problem remained, and they again told us we used too much ba...